Zaburi 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niliendelea kukuita, Ee Yehova;+Nami niliendelea kumsihi Yehova anipe kibali.+ Zaburi 34:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtukuzeni Yehova pamoja nami,+Na tulikweze jina lake pamoja.+