Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Je, Mungu atasikia kilio chake

      Taabu ikimjia?+

  • Methali 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+

  • Methali 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Anayegeuzia mbali sikio lake asiisikie sheria+—hata sala yake ni chukizo.+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Yohana 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda-dhambi,+ bali ikiwa mtu yeyote anamwogopa Mungu na anafanya mapenzi yake, yeye humsikiliza.+

  • Yakobo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mnaomba, na bado hampokei, kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya,+ ili mvitumie kwa tamaa zenu za mwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki