Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Nasi tukaendelea kuchukua wakati huo ile nchi kutoka mkononi mwa wale wafalme wawili wa Waamori+ waliokuwa katika eneo la Yordani, kutoka katika bonde la mto la Arnoni+ mpaka Mlima Hermoni;+

  • Kumbukumbu la Torati 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 majiji yote ya nchi tambarare ya juu na Gileadi yote na Bashani yote mpaka Saleka+ na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu katika Bashani.

  • Zaburi 42:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ee Mungu wangu, nafsi yangu mwenyewe imekata tamaa ndani yangu.+

      Ndiyo sababu ninakukumbuka,+

      Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,+

      Kutoka katika ule mlima mdogo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki