Kumbukumbu la Torati 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nasi tukaendelea kuchukua wakati huo ile nchi kutoka mkononi mwa wale wafalme wawili wa Waamori+ waliokuwa katika eneo la Yordani, kutoka katika bonde la mto la Arnoni+ mpaka Mlima Hermoni;+ Kumbukumbu la Torati 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 majiji yote ya nchi tambarare ya juu na Gileadi yote na Bashani yote mpaka Saleka+ na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu katika Bashani. Zaburi 42:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ee Mungu wangu, nafsi yangu mwenyewe imekata tamaa ndani yangu.+Ndiyo sababu ninakukumbuka,+Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,+Kutoka katika ule mlima mdogo.+
8 “Nasi tukaendelea kuchukua wakati huo ile nchi kutoka mkononi mwa wale wafalme wawili wa Waamori+ waliokuwa katika eneo la Yordani, kutoka katika bonde la mto la Arnoni+ mpaka Mlima Hermoni;+
10 majiji yote ya nchi tambarare ya juu na Gileadi yote na Bashani yote mpaka Saleka+ na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu katika Bashani.
6 Ee Mungu wangu, nafsi yangu mwenyewe imekata tamaa ndani yangu.+Ndiyo sababu ninakukumbuka,+Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,+Kutoka katika ule mlima mdogo.+