19 Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Je, umeua+ na pia ukamiliki?”’+ Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Mahali+ ambapo mbwa waliiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, ndiyo, damu yako.”’”+
38 Nao wakaanza kuliosha lile gari la vita kando ya kidimbwi cha Samaria, na mbwa wakairamba damu yake+ (na makahaba waliogea hapo), kulingana na neno la Yehova alilokuwa amesema.+
33 Basi akasema: “Mwangusheni!”+ Ndipo wakamwangusha huyo mwanamke, na sehemu ya damu yake ikamwagika juu ya ukuta na juu ya farasi; naye akamkanyaga-kanyaga.+