1 Mambo ya Nyakati 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji+ wakiwa na vyombo vya nyimbo,+ vinanda+ na vinubi+ na matoazi,+ wakipiga kwa sauti ili sauti ya kushangilia itokee. Zaburi 87:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia kutakuwako waimbaji na vilevile wachezaji wa dansi za mzunguko:+“Mabubujiko yangu yote yamo ndani yako.”+ Zaburi 150:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msifuni kwa kupiga baragumu.+Msifuni kwa kinanda na kinubi.+
16 Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji+ wakiwa na vyombo vya nyimbo,+ vinanda+ na vinubi+ na matoazi,+ wakipiga kwa sauti ili sauti ya kushangilia itokee.
7 Pia kutakuwako waimbaji na vilevile wachezaji wa dansi za mzunguko:+“Mabubujiko yangu yote yamo ndani yako.”+