Zaburi 138:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+ Waefeso 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi kwa yeye anayeweza, kulingana na nguvu zake zinazotenda+ ndani yetu, kufanya kwa wingi zaidi kupita mambo yote tunayoomba au tunayofikiri,+
8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+
20 Basi kwa yeye anayeweza, kulingana na nguvu zake zinazotenda+ ndani yetu, kufanya kwa wingi zaidi kupita mambo yote tunayoomba au tunayofikiri,+