Sefania 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Kutoka eneo la mito ya Ethiopia, wale wanaonisihi, yaani, binti ya watu wangu waliotawanywa, wataniletea zawadi.+ Matendo 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ndipo akaondoka akaenda, na, tazama! towashi+ Mwethiopia,+ mwanamume aliye na mamlaka chini ya Kandake malkia wa Waethiopia, na ambaye alikuwa juu ya hazina yote ya malkia. Huyo alikuwa ameenda Yerusalemu kuabudu,+
10 “Kutoka eneo la mito ya Ethiopia, wale wanaonisihi, yaani, binti ya watu wangu waliotawanywa, wataniletea zawadi.+
27 Ndipo akaondoka akaenda, na, tazama! towashi+ Mwethiopia,+ mwanamume aliye na mamlaka chini ya Kandake malkia wa Waethiopia, na ambaye alikuwa juu ya hazina yote ya malkia. Huyo alikuwa ameenda Yerusalemu kuabudu,+