Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 40:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yeye pia akaniinua kutoka katika shimo lenye kunguruma,+

      Kutoka katika matope ya nchi.+

      Kisha yeye akainua miguu yangu juu ya mwamba;+

      Akazifanya imara hatua zangu.+

  • Zaburi 88:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Umeniweka katika shimo lililo katika vina vya chini kabisa,

      Katika mahali penye giza, katika abiso kubwa.+

  • Yeremia 38:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nao wakamchukua Yeremia na kumtupa ndani ya tangi la maji la Malkiya+ mwana wa mfalme, lililokuwa katika Ua wa Walinzi.+ Hivyo wakamshusha Yeremia ndani kwa kamba. Basi hapakuwa na maji ndani ya lile tangi, bali matope; na Yeremia akaanza kuzama katika yale matope.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki