Zaburi 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa sababu hiyo kila aliye mshikamanifu atasali kwako+Katika wakati ule tu ambao wewe unaweza kupatikana.+Nayo mafuriko ya maji mengi hayatamgusa.+ Yona 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uliponitupa kwenye vilindi, ndani ya moyo wa bahari kuu,+Ndipo mto nao ukanizunguka.Mashuu yako yote na mawimbi yako—yalipita juu yangu.+
6 Kwa sababu hiyo kila aliye mshikamanifu atasali kwako+Katika wakati ule tu ambao wewe unaweza kupatikana.+Nayo mafuriko ya maji mengi hayatamgusa.+
3 Uliponitupa kwenye vilindi, ndani ya moyo wa bahari kuu,+Ndipo mto nao ukanizunguka.Mashuu yako yote na mawimbi yako—yalipita juu yangu.+