Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na palikuwa na nabii wa Yehova hapo ambaye jina lake lilikuwa Odedi. Basi akaenda mbele ya jeshi lililokuwa likija Samaria na kuwaambia: “Tazama! Yehova Mungu wa mababu zenu aliwatia hao mkononi mwenu kwa sababu ya ghadhabu+ yake juu ya Yuda, hivi kwamba mkafanya mauaji kati yao kwa ghadhabu+ ambayo imefika mpaka mbinguni.+

  • Zaburi 109:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa sababu hakukumbuka kuonyesha fadhili zenye upendo,+

      Bali aliendelea kumfuatilia mtu mwenye kuteseka na aliye maskini+

      Na mwenye huzuni moyoni, ili kumuua.+

  • Isaya 53:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa kweli yeye mwenyewe aliyachukua magonjwa yetu;+ na kwa habari ya maumivu yetu, yeye aliyabeba.+ Lakini sisi tulimhesabu kama aliyepata mapigo,+ aliyepigwa na Mungu+ na kuteswa.+

  • Zekaria 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki