Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na mkono wangu umekuwa dhidi ya manabii wanaoona mambo yasiyo ya kweli na wanaoagua uwongo.+ Katika kikundi cha rafiki wa karibu+ wa watu wangu hawataendelea kukaa, nao hawataandikwa katika kitabu cha kuandikisha cha nyumba ya Israeli,+ na katika udongo wa Israeli hawatakuja;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,+

  • Wafilipi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndiyo, nakuomba wewe pia, mwenzangu halisi katika nira,+ endelea kuwasaidia wanawake hawa ambao wamekazana pamoja nami+ katika habari njema pamoja na Klementi na vilevile wale wafanyakazi wenzangu+ wengine, ambao majina+ yao yamo katika kitabu cha uzima.+

  • Ufunuo 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yeye atakayeshinda+ atapambwa hivyo mavazi meupe ya nje;+ nami sitalifuta kwa vyovyote jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba+ yangu na mbele ya malaika+ zake.

  • Ufunuo 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na wale wote wanaokaa duniani watamwabudu; hakuna jina la hata mmoja wao limeandikwa katika kitabu cha kukunjwa+ cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa,+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki