2 Samweli 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nitamfikia wakati yeye amechoka na mikono yake ina unyonge,+ nami nitamtetemesha; na watu wote walio pamoja naye watakimbia, nami nitampiga na kumuua mfalme akiwa peke yake.+ Zaburi 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Adui zangu wote wataona aibu+ sana na kuwa na wasiwasi;Watageuka, wataona aibu ghafula.+ Zaburi 35:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+ Zaburi 71:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hao na waaibike, hao na wafikie mwisho wao, wanaoshindana na nafsi yangu.+Hao na wajifunike kwa shutuma na fedheha wanaonitafutia msiba.+
2 Nami nitamfikia wakati yeye amechoka na mikono yake ina unyonge,+ nami nitamtetemesha; na watu wote walio pamoja naye watakimbia, nami nitampiga na kumuua mfalme akiwa peke yake.+
26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+
13 Hao na waaibike, hao na wafikie mwisho wao, wanaoshindana na nafsi yangu.+Hao na wajifunike kwa shutuma na fedheha wanaonitafutia msiba.+