Zaburi 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wote wanaokukimbilia watashangilia;+Watapiga vigelegele vya shangwe+ mpaka wakati usio na kipimo.Nawe utaweka kizuizi wasifikiwe,Nao wanaolipenda jina lako watakushangilia.+ Maombolezo 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova ni mwema kwa yule anayemtumaini,+ kwa nafsi inayoendelea kumtafuta.+
11 Lakini wote wanaokukimbilia watashangilia;+Watapiga vigelegele vya shangwe+ mpaka wakati usio na kipimo.Nawe utaweka kizuizi wasifikiwe,Nao wanaolipenda jina lako watakushangilia.+