Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+

      Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+

      Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+

  • Zaburi 57:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kufika mbinguni,+

      Na ukweli wako mpaka angani.+

  • Zaburi 89:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+

      Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki