Zaburi 36:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+ Zaburi 57:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kufika mbinguni,+Na ukweli wako mpaka angani.+ Zaburi 89:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+
6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+
14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+