11 Na Yehova hatakosa kukuongoza+ sikuzote+ na kuishibisha nafsi yako hata katika nchi yenye kukauka,+ naye ataitia nguvu mifupa yako;+ nawe utakuwa kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+ na kama chemchemi ya maji, ambayo maji yake hayaishi.
26 Nami nitawafanya wao na mazingira ya kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inayomwagika ishuke kwa wakati wake. Kutakuwa na mvua inayomwagika ya baraka.+