Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Basi ni kama nuru ya asubuhi, jua linapoangaza,

      Asubuhi isiyo na mawingu.+

      Kutokana na mwangaza, kutokana na mvua, majani hutoka katika nchi.’+

  • Methali 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima,+ nayo nia yake njema ni kama wingu la majira ya mvua ya masika.+

  • Isaya 58:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Yehova hatakosa kukuongoza+ sikuzote+ na kuishibisha nafsi yako hata katika nchi yenye kukauka,+ naye ataitia nguvu mifupa yako;+ nawe utakuwa kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+ na kama chemchemi ya maji, ambayo maji yake hayaishi.

  • Ezekieli 34:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nami nitawafanya wao na mazingira ya kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inayomwagika ishuke kwa wakati wake. Kutakuwa na mvua inayomwagika ya baraka.+

  • Hosea 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nasi tutajua, tutafanya bidii kumjua Yehova.+ Kutokea kwake kumefanywa imara+ kama mapambazuko.+ Naye atakuja kwetu kama mvua inayonyesha;+ kama mvua ya masika ambayo huilowesha dunia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki