1 Samweli 17:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Sauli sasa akamwambia: “Wewe mvulana, wewe ni mwana wa nani?” naye Daudi akasema: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+ Matendo 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na baada ya kumwondoa huyo,+ akawainulia Daudi kuwa mfalme,+ ambaye alitoa ushahidi kumhusu na kusema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayekubalika kwa moyo wangu,+ atakayefanya mambo yote ambayo ninatamani.’+
58 Sauli sasa akamwambia: “Wewe mvulana, wewe ni mwana wa nani?” naye Daudi akasema: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+
22 Na baada ya kumwondoa huyo,+ akawainulia Daudi kuwa mfalme,+ ambaye alitoa ushahidi kumhusu na kusema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayekubalika kwa moyo wangu,+ atakayefanya mambo yote ambayo ninatamani.’+