Zaburi 44:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Uamke. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+Uamke. Usiendelee kututupilia mbali milele.+ Isaya 64:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mbele ya mambo hayo yote, je, utaendelea kujizuia,+ Ee Yehova? Je, utanyamaza na kutuacha tuteseke kupindukia?+ Maombolezo 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika joto kali la hasira amekata kila pembe ya Israeli.+Amerudisha mkono wake wa kuume kutoka mbele ya adui;+Naye huendelea kuwaka katika Yakobo kama moto unaowaka ambao umeteketeza kuzunguka pande zote.+
23 Uamke. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+Uamke. Usiendelee kututupilia mbali milele.+
12 Mbele ya mambo hayo yote, je, utaendelea kujizuia,+ Ee Yehova? Je, utanyamaza na kutuacha tuteseke kupindukia?+
3 Katika joto kali la hasira amekata kila pembe ya Israeli.+Amerudisha mkono wake wa kuume kutoka mbele ya adui;+Naye huendelea kuwaka katika Yakobo kama moto unaowaka ambao umeteketeza kuzunguka pande zote.+