Ayubu 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wenye kulaani siku na wailaani,Wale walio tayari kumwamsha Lewiathani.*+ Ayubu 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 “Je, unaweza kumvua Lewiathani*+ kwa ndoano,Au, je, unaweza kuufunga ulimi wake kwa kamba? Zaburi 104:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Humo meli husafiri;+Naye Lewiathani,*+ yeye umemfanyiza ili achezecheze humo.+