Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 60:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Umewafanya watu wako waone magumu.+

      Umetufanya tunywe divai ikatufanya tuyumbe-yumbe.+

  • Isaya 51:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Amka, amka, simama, Ee Yerusalemu,+ wewe ambaye umekunywa mkononi mwa Yehova kikombe chake cha ghadhabu.+ Bilauri, kikombe kinachosababisha kuyumba-yumba, umekunywa, umemaliza.+

  • Yeremia 49:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama! Ingawa si desturi yao kukinywa kikombe, bila shaka watakinywa.+ Na wewe mwenyewe, je, utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana utakunywa bila shaka.”+

  • Ufunuo 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 yeye pia atakunywa kutokana na divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa bila kuchanganywa na kitu ndani ya kikombe cha ghadhabu yake,+ naye atateswa+ kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwana-Kondoo.

  • Ufunuo 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na lile jiji kubwa+ likapasuka na kuwa sehemu tatu, na majiji ya mataifa yakaanguka; na Babiloni Mkubwa+ akakumbukwa machoni pa Mungu, ili kumpa kikombe cha divai cha hasira ya ghadhabu yake.+

  • Ufunuo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlipeni sawa na vile yeye mwenyewe alivyolipa,+ na mtendeeni mara mbili ya hivyo, ndiyo, mara mbili ya hesabu ya mambo aliyoyatenda;+ katika kikombe+ ambacho ndani yake alitia mchanganyiko mtilieni+ mchanganyiko mara mbili+ ya hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki