Zaburi 90:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani anayejua nguvu za hasira yako+Na ghadhabu yako kulingana na kukuogopa wewe?+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+ Nahumu 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake. 1 Wakorintho 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Au je, “tunamchochea Yehova kuwa na wivu”?+ Je, sisi tuna nguvu+ zaidi kuliko yeye?
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+
6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.