2 Mambo ya Nyakati 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na hofu+ ya Mungu ikawa juu ya falme zote za nchi waliposikia kwamba Yehova amepiga vita juu ya adui za Israeli.+ Zekaria 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nyamazeni, watu wote, mbele za Yehova,+ kwa maana ameamka+ kutoka katika makao yake matakatifu.+
29 Na hofu+ ya Mungu ikawa juu ya falme zote za nchi waliposikia kwamba Yehova amepiga vita juu ya adui za Israeli.+