Kutoka 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+ Zaburi 78:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Baadaye akawafanya watu wake waondoke kama kondoo,+Na kuwaongoza kama kundi nyikani.+ Hosea 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova kupitia nabii akaleta Israeli kutoka Misri,+ naye akalindwa kupitia nabii.+
21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+