Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimewatazama watu hawa na, kumbe, ni watu wenye shingo ngumu.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Basi nikasema nanyi, nanyi hamkusikiliza bali mkaanza kujiendesha kwa kumwasi+ Yehova na kuwaka hasira, nanyi mkajaribu kwenda juu mlimani.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nawe ni lazima ujue kwamba Yehova Mungu wako hakupi wewe nchi hii nzuri uimiliki kwa sababu ya uadilifu wako; kwa maana ninyi ni watu wenye shingo ngumu.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu!

  • Isaya 65:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nimewanyooshea watu wakaidi+ mikono yangu mchana kutwa, wale ambao wanatembea katika njia ambayo si nzuri,+ wakifuata mawazo yao;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki