Kumbukumbu la Torati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na zaidi ya hayo, huko Tabera+ na huko Masa+ na huko Kibroth-hataava+ mlimkasirisha Yehova.+ Zaburi 95:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama huko Meriba,+Kama katika ile siku ya Masa, nyikani,+ Waebrania 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakachochea hasira kali?+ Kwa kweli, je, hawakufanya hivyo wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+
8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama huko Meriba,+Kama katika ile siku ya Masa, nyikani,+ Waebrania 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakachochea hasira kali?+ Kwa kweli, je, hawakufanya hivyo wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+
16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakachochea hasira kali?+ Kwa kweli, je, hawakufanya hivyo wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+