Zaburi 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+ Zaburi 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mifupa yangu yote na iseme:+“Ee Yehova, ni nani aliye kama wewe,+Anayemkomboa mwenye kuteseka kutoka kwa mwenye nguvu kuliko yeye,+Na kumkomboa mwenye kuteseka na maskini kutoka kwa mwenye kumnyang’anya?”+
12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+
10 Mifupa yangu yote na iseme:+“Ee Yehova, ni nani aliye kama wewe,+Anayemkomboa mwenye kuteseka kutoka kwa mwenye nguvu kuliko yeye,+Na kumkomboa mwenye kuteseka na maskini kutoka kwa mwenye kumnyang’anya?”+