15 Wana wa Israeli walipokiona, wakaanza kusemezana: “Ni nini hiki?” Kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Basi Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa ninyi uwe chakula.+
15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+