26 ‘ “Hakika niliona jana damu+ ya Nabothi na damu ya wanawe,”+ asema Yehova, “nami hakika nitakulipa+ wewe katika sehemu hii ya shamba,” asema Yehova.’ Basi sasa, mwinue; mtupe katika ile sehemu ya shamba kulingana na neno la Yehova.”+
23 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ nawe utende+ na kuwahukumu watumishi wako ili kumlipa yule mwovu kwa kuweka njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa ni mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+