Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi nikapeleka hisia ya kuvunjika moyo mbele yenu, nayo mwishowe ikawafukuza mbele yenu+—wafalme wawili wa Waamori—haikuwa kwa upanga wenu wala kwa upinde wenu.+

  • Nehemia 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi wana wao+ wakaingia, wakaichukua nchi hiyo na kuimiliki,+ nawe ukatiisha+ mbele yao wakaaji wa nchi hiyo, Wakanaani,+ na kuwatia mikononi mwao, pamoja na wafalme+ wao na vikundi vya watu wa nchi,+ ili wawatendee kulingana na mapenzi yao.+

  • Zaburi 44:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+

      Nawe ukawapanda hao badala yao.+

      Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+

  • Zaburi 105:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Na hatua kwa hatua akawapa nchi za mataifa,+

      Nao wakaendelea kumiliki kazi ngumu ya vikundi vya mataifa,+

  • Zaburi 136:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na ambaye aliua wafalme wenye fahari:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki