Zaburi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niombe,+ ili nikupe mataifa yawe urithi wako+Na miisho ya dunia iwe miliki yako mwenyewe.+ Ufunuo 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+
15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+