Zaburi 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Mungu wangu, nimependezwa na kufanya mapenzi yako,+Na sheria yako imo ndani yangu.+ Yeremia 31:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+