16 “Mara tatu katika mwaka kila mwanamume wa kwako ataonekana mbele za Yehova Mungu wako katika mahali ambapo atapachagua:+ katika sherehe ya keki zisizo na chachu+ na katika sherehe ya majuma+ na katika sherehe ya vibanda,+ na mtu yeyote asionekane mbele za Yehova mikono mitupu.+
16 “Na itatukia kwamba, kila mtu atakayebaki wa mataifa yote yanayokuja juu ya Yerusalemu,+ watapanda pia mwaka baada ya mwaka+ ili kumwinamia Mfalme,+ Yehova wa majeshi,+ na kufanya sherehe ya vibanda.+