Zaburi 109:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Unisaidie, Ee Yehova Mungu wangu;+Uniokoe kulingana na fadhili zako zenye upendo.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+
22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+