Zaburi 55:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jioni na asubuhi na katikati ya mchana sikosi kuhangaika nami naomboleza,+Naye huisikia sauti yangu.+ Zaburi 119:147 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 147 Nimeamka mapema wakati wa mapambazuko ya asubuhi,+ ili nipate kulilia msaada.+Kwa maana nimeyangojea maneno yako.+
17 Jioni na asubuhi na katikati ya mchana sikosi kuhangaika nami naomboleza,+Naye huisikia sauti yangu.+
147 Nimeamka mapema wakati wa mapambazuko ya asubuhi,+ ili nipate kulilia msaada.+Kwa maana nimeyangojea maneno yako.+