Ayubu 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndugu zangu amewaweka mbali sana nami,+Na wale wanaonijua hata wamejitenga nami. Zaburi 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+ Zaburi 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wenye kunipenda na wenzangu wanaendelea kusimama mbali na pigo langu,+Na rafiki zangu wamesimama mbali.+ Zaburi 88:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+
11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+
11 Nao wenye kunipenda na wenzangu wanaendelea kusimama mbali na pigo langu,+Na rafiki zangu wamesimama mbali.+
8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+