Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndugu zangu amewaweka mbali sana nami,+

      Na wale wanaonijua hata wamejitenga nami.

  • Zaburi 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+

      Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+

      Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+

      Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+

  • Zaburi 38:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wenye kunipenda na wenzangu wanaendelea kusimama mbali na pigo langu,+

      Na rafiki zangu wamesimama mbali.+

  • Zaburi 88:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+

      Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+

      Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki