26 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe mkono wako juu ya bahari,+ ili maji yarudi juu ya Wamisri, magari yao ya vita na askari wao wapanda-farasi.”
9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+