Zaburi 33:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana moyo wetu hushangilia katika yeye;+Kwa maana tumelitegemea jina lake takatifu.+ Zaburi 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tutamtolea Mungu sifa mchana kutwa,+Nasi tutalisifu jina lako mpaka wakati usio na kipimo.+ Sela.