Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa utamwambia Daudi mtumishi wangu hivi, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Mimi mwenyewe nilikuchukua kutoka katika viwanja vya malisho ili uache kufuata kundi+ na uwe kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.

  • 1 Wafalme 11:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini sitauchukua ufalme wote kutoka mkononi mwake, kwa sababu nitamweka kuwa mkuu siku zote za maisha yake, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu niliyemchagua,+ kwa sababu alizishika amri zangu na sheria zangu.

  • Waebrania 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki