8 Na sasa utamwambia Daudi mtumishi wangu hivi, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Mimi mwenyewe nilikuchukua kutoka katika viwanja vya malisho ili uache kufuata kundi+ na uwe kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.
34 Lakini sitauchukua ufalme wote kutoka mkononi mwake, kwa sababu nitamweka kuwa mkuu siku zote za maisha yake, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu niliyemchagua,+ kwa sababu alizishika amri zangu na sheria zangu.
17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+