7 “Na sasa utamwambia Daudi mtumishi wangu hivi, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Mimi mwenyewe nilikuchukua kutoka katika viwanja vya malisho ili uache kufuata kundi+ na uwe kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.
22 Na baada ya kumwondoa huyo,+ akawainulia Daudi kuwa mfalme,+ ambaye alitoa ushahidi kumhusu na kusema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayekubalika kwa moyo wangu,+ atakayefanya mambo yote ambayo ninatamani.’+