1 Wafalme 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Sulemani alikuwa mtawala juu ya falme zote kutoka ule Mto+ hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Walikuwa wakileta zawadi na kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake.+ Zaburi 80:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hatua kwa hatua uliyaeneza matawi yake mpaka baharini,+Na machipukizi yake mpaka kwenye ule Mto.+
21 Naye Sulemani alikuwa mtawala juu ya falme zote kutoka ule Mto+ hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Walikuwa wakileta zawadi na kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake.+