Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+

  • Zaburi 72:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jina lake na liweko mpaka wakati usio na kipimo;+

      Jina lake na liongezeke mbele ya jua,

      Na kupitia yeye na wajibariki;+

      Mataifa yote na yamtangaze kuwa mwenye furaha.+

  • Isaya 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na tawi+ litatoka katika kisiki cha Yese;+ na kutoka katika mizizi yake chipukizi+ litazaa.+

  • Yeremia 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamsimamishia Daudi chipukizi adilifu.+ Na hakika mfalme atatawala+ na kutenda kwa busara na kutenda haki na uadilifu katika nchi.+

  • Zekaria 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye mwenyewe atalijenga hekalu la Yehova, naye atachukua heshima;+ ataketi na kutawala juu ya kiti chake cha ufalme, naye atakuwa kuhani juu ya kiti chake cha ufalme,+ na shauri la amani+ litakuwa kati ya vyeo hivyo viwili.

  • Yohana 12:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa hiyo umati wakamjibu: “Sisi tulisikia kutoka katika Sheria kwamba Kristo hudumu milele;+ basi kwa nini unasema kwamba lazima Mwana wa binadamu ainuliwe?+ Huyo Mwana wa binadamu ni nani?”+

  • Ufunuo 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “ ‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi juu ya mambo haya kwa ajili ya yale makutaniko. Mimi ndiye mzizi+ na uzao+ wa Daudi, na nyota nyangavu ya asubuhi.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki