2 Mambo ya Nyakati 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye akayateka majiji yenye ngome yaliyokuwa ya Yuda,+ na mwishowe akaja mpaka Yerusalemu.+ Yeremia 52:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na majeshi yote ya Wakaldayo yaliyokuwa pamoja na yule mkuu wa walinzi yakazibomoa kuta zote za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+ Maombolezo 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amemeza, hakuonyesha huruma juu ya makao+ yoyote ya Yakobo.Katika hasira yake amebomoa ngome+ za binti Yuda.Ameangusha chini,+ ametia unajisi ufalme+ na wakuu wake.+
14 Na majeshi yote ya Wakaldayo yaliyokuwa pamoja na yule mkuu wa walinzi yakazibomoa kuta zote za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+
2 Yehova amemeza, hakuonyesha huruma juu ya makao+ yoyote ya Yakobo.Katika hasira yake amebomoa ngome+ za binti Yuda.Ameangusha chini,+ ametia unajisi ufalme+ na wakuu wake.+