Zaburi 78:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Moto ukawateketeza wanaume wake vijana,Na mabikira wake hawakusifiwa.+ Zaburi 79:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ee Yehova, utapandwa na hasira mpaka wakati gani? Milele?+Hasira yako itawaka kama moto mpaka wakati gani?+ Isaya 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali, likiwaka kwa hasira+ yake na kwa mawingu mazito. Na midomo yake imejaa shutuma, na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+ Yeremia 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Je, neno langu halilingani na moto,”+ asema Yehova, “na kama nyundo ya chuma ambayo huvunja mwamba?”+
5 Ee Yehova, utapandwa na hasira mpaka wakati gani? Milele?+Hasira yako itawaka kama moto mpaka wakati gani?+
27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali, likiwaka kwa hasira+ yake na kwa mawingu mazito. Na midomo yake imejaa shutuma, na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+
29 “Je, neno langu halilingani na moto,”+ asema Yehova, “na kama nyundo ya chuma ambayo huvunja mwamba?”+