Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Moto ukawateketeza wanaume wake vijana,

      Na mabikira wake hawakusifiwa.+

  • Zaburi 79:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ee Yehova, utapandwa na hasira mpaka wakati gani? Milele?+

      Hasira yako itawaka kama moto mpaka wakati gani?+

  • Isaya 30:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali, likiwaka kwa hasira+ yake na kwa mawingu mazito. Na midomo yake imejaa shutuma, na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+

  • Yeremia 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Je, neno langu halilingani na moto,”+ asema Yehova, “na kama nyundo ya chuma ambayo huvunja mwamba?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki