1 Wakorintho 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+ 1 Wakorintho 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na tena: “Yehova anajua kwamba kufikiri kwa watu wenye hekima ni kwa ubatili.”+
19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+