54 Na ikawa kwamba mara tu Sulemani alipomaliza kusali kwa Yehova kwa sala hii yote na ombi la kutaka kibali, akasimama kutoka mbele ya ile madhabahu ya Yehova, hapo alipokuwa amepiga magoti+ na mikono yake ikiwa imenyooshwa kuelekea mbinguni;+
5 Na wakati wa toleo la nafaka+ la jioni nikasimama kutoka kwenye fedheha yangu, vazi langu na koti langu likiwa limepasuliwa, kisha nikainama nikapiga magoti+ na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.+