Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Na chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichofanana na mawe bapa ya yakuti na kama mbingu kwa kutakata.+

  • Zaburi 104:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 104 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+

      Ee Yehova Mungu wangu, umekuwa mkuu sana.+

      Umevaa utukufu na fahari,+

  • Isaya 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+

  • Ezekieli 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nami nikaona kitu kama mng’ao wa mchanganyiko wa dhahabu na fedha,+ kinachoonekana kama moto kuzunguka pande zote za ndani,+ kuanzia kuonekana kwa kiuno chake kwenda juu; na kuanzia kuonekana kwa kiuno chake kwenda chini niliona kitu kinachoonekana kama moto, naye alikuwa na mwangaza kuzunguka pande zote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki