Zaburi 69:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mbingu na dunia na zimsifu,+Bahari na vyote vinavyotembea ndani yake.+ Isaya 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+
13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+