Zaburi 89:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+ Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+ Methali 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kufanya uovu ni chukizo kwa wafalme,+ kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa uadilifu.+
14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+
4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+