Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Mungu akamwambia Musa tena:

      “Hivi ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka+ na Mungu wa Yakobo,+ amenituma kwenu.’ Hilo ndilo jina langu mpaka wakati usio na kipimo,+ na huo ndio ukumbusho wangu kwa kizazi baada ya kizazi.+

  • Zaburi 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mpigieni Yehova muziki, enyi washikamanifu wake,+

      Utoleeni shukrani ukumbusho wake mtakatifu;+

  • Zaburi 50:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+

      Naye anayedumisha njia iliyowekwa,

      Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+

  • Zaburi 135:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, jina lako ni la mpaka wakati usio na kipimo.+

      Ee Yehova, ukumbusho wako ni wa mpaka kizazi baada ya kizazi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki