Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+

  • Methali 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mdomo wa ukweli+ ndio utakaofanywa imara milele,+ lakini ulimi wa uwongo ni wa muda mfupi tu.+

  • Zekaria 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “ ‘Haya ndiyo mambo ambayo mnapaswa kufanya:+ Semeni ukweli kila mtu na mwenzake.+ Hukumuni kwa hukumu ya kweli na ya amani malangoni mwenu.+

  • Waefeso 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+

  • Wakolosai 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Msiwe mkiambiana uwongo.+ Uvueni utu wa zamani+ pamoja na mazoea yake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki