Methali 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+ Methali 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mdomo wa ukweli+ ndio utakaofanywa imara milele,+ lakini ulimi wa uwongo ni wa muda mfupi tu.+ Zekaria 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “ ‘Haya ndiyo mambo ambayo mnapaswa kufanya:+ Semeni ukweli kila mtu na mwenzake.+ Hukumuni kwa hukumu ya kweli na ya amani malangoni mwenu.+ Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+ Wakolosai 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msiwe mkiambiana uwongo.+ Uvueni utu wa zamani+ pamoja na mazoea yake,
32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+
16 “ ‘Haya ndiyo mambo ambayo mnapaswa kufanya:+ Semeni ukweli kila mtu na mwenzake.+ Hukumuni kwa hukumu ya kweli na ya amani malangoni mwenu.+
25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+