Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Samweli akachukua mwana-kondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa toleo la kuteketezwa,+ toleo zima; na Samweli akaanza kumwomba Yehova msaada kwa ajili ya Israeli,+ naye Yehova akamjibu.+

  • 1 Samweli 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo Samweli akamwita Yehova,+ naye Yehova akaleta mngurumo na mvua siku hiyo,+ hivi kwamba watu wote wakawaogopa sana Yehova na Samweli.

  • Yeremia 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova akaniambia: “Kama Musa+ na Samweli+ wangekuwa wamesimama mbele zangu, nafsi yangu haingewaelekea watu hawa.+ Wangefukuzwa mbele za uso wangu, ili watoke waende.+

  • Waebrania 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki